Monday, August 29, 2016

WHY BOOKS SHOULD BE INTEGRATED INTO YOUR DAILY GRIND

BOOKS ARE IMPORTANT IN EXPANDING YOUR MIND AND YOUR BUSINESS. HERE’S WHY AND HOW.

Book, books, books. I read so many articles on Inc.com and Forbes about the books Bill Gates thinks you should read or the books Mark Zuckerberg reads and to be honest it’s overwhelming.

How is the average entrepreneur who’s trying to make it supposed to keep up with the books everyone recommends or ‘thinks you should read?’ They’re millionaires and billionaires, so they can hire people to do the work and they have time to read books, right?

Right now I have a list that’s about 65 books long that I need to read. One of the things on my resolution list was to read a book a month. That happened for the first couple of months, but as soon as June hit, I got busy. When I got home from work I didn’t want to read about business because I just got home from my business.

As I continued to get emails from the publications mentioned above, they flooded me with different ideas of WHY you should read. I never thought of the ‘why.’ I just thought, “Well, I don’t have time and frankly I’d rather do mindless activities like watch TV.”

But then I read this article. Then came this one and then this one. Ugh. Once again, I was defeated. The point of reading wasn’t to waste time. People were learning and growing and more importantly learning skills that they used to make their businesses grow.

I recently ran across an article that made me take the, “Okay, I get it, I need to jump on the reading train,” route. To paraphrase it said that the point of people reading was not to waste time or to have a ‘lovely afternoon tea,’ it was to learn; it was to grow their business.

I never thought of reading like this. I thought of it as something people do to pass the time, not necessarily to learn and I didn’t think of it directly being able to help my business. This may be a no-brainer to some people, but maybe there are entrepreneurs out there like me. Here’s what I did about it.

Any free time I have at night, instead of watching TV, I’ve decided that I will dedicate it to reading. For me, prospecting new clients, networking and making sure my pipeline is full and business is running is my number one priority. However, I’ve decided to dedicate time before bed to reading. I read a chapter or 30-minutes, whichever is longer. This also has helped me sleep better. Before, I tended to be on my phone scrolling through Instagram or Facebook and have heard that’s not good for you before bed.

The books that I’ve read that I would recommend to any entrepreneur are:

The Crossroad Between Should and Must: This is about the choice between doing something and saying you’ll do it. It’s a fun, very light read that has a lot of animation in it.

Pour Your Heart Into It: This is the story of Starbucks. This is a pretty hefty book. I thoroughly enjoyed it, though. It was amazing to read about all the obstacles Howard Schultz overcame and how he grew Starbucks to what we know now.

The Power of Nice: This is a light read and a good starter book. This about an ad agency in New York’s promise to be nice to everyone, no matter what. They share their stories about how it came to their benefit in the long run and even ten years down the road.

From Grit to Great: This book is by the same authors as above and talks about how people started from nothing to becoming something. It has a lot of great stories within it.

How To Become A Rainmaker: This is a quick and easy read, and it’s perfect for any sales person or entrepreneur who is the sales person along with everything else

Lean In: This book is a MUST READ for any female in business. Whether you’re working for yourself or thinking about it, or working for someone else, this is essential. The book talks about how women need to ‘lean in’ to more responsibilities and how to overcome obstacles.
All of these books have very different personalities but are great reads to expand your mind and make you think differently. I hope you gain some insigh nto reading as I have in this article. Tweet me at @MarketingGal_ to tell me which books you enjoy or if you’ve read any of the ones above.

Tuesday, August 2, 2016

MFAHAMU PABLO ESCOBAR,GOD FATHER WA MADAWA YA KULEVYA ALIEACHA HISTORIA YA PEKE YAKE DUNIANI.

Ushawahi kuona mtu anajenga jela yake mwenyewe na kuiremba kisha kuchagua magereza wa kumlinda, mtu alieogopwa na wauza madawa wenzake na kuwaweka majaji, polisi na wanasiasa mfukoni kwa pesa ama vitisho. Moja ya watu wakatili aliemuondoa yoyote aliekuwa kikwazo katika njia yake akiwa na sera ya aidha ukubali rushwa au risasi za Pablo. Anaitwa Pablo Escobar a.k.a El Doctor, El Patrón,Don Pablo,El Señor, El Magico. Kila $1 aliyokua anaweka katika biashara yake alikua anapata profit OR return ya $200. Alikuwa anakusanya pesa haweki bank, anatunza ndani chini ya ardhi, juu ya dari or ukutani. Adui pekee wa hela zake walikuwa ni Panya wenye njaa kali. Kila mwaka inasemekana alikua anapoteza 10% ya faida ambayo kwa haraka haraka ni $b1, Panya walizokuwa wanakula. 

*Marekani* na Serikali ya Colombia ilitaka Pablo akamatwe na afungwe. Akakubali but Gereza akajenga yeye. Ndani ya gereza kulikuwa ni kama 5star hôtel. Alijiwekea kila kitu, Jacuzi, Bar, Pub, TV,na vitu kibao vya thamani. Pia wanawake wakawa wanaingia na akiwa jela alikuwa ana uwezo wa kutoka na kurudi kisirisiri, coz walinzi wa gereza alikuwa anawahonga vizuri sana. Baadae, Pablo alichoka maisha ya Jela la Hôtel, anataka kurudi kitaa, akatoroka. Wakati anatoroka akachukua familia yake na walinzi wake wakakimbilia Maporini. Wakati wapo huko vichakani, mtoto akaugua ghafla na kukawa na baridi sana, ukahitajika moto unajua Pablo alochofanya? Aliwasha moto wa kutoa baridi la ugonjwa wa kwa mwanae kwa kutumia noti zaidi ya 2million dollars, ziliwasha moto mtoto aote moto kupata joto, na kupika kwa note za $2,000,000, za kibongo ni b3 na m240. Alikuwa ananunua na kutumia Rubber band za $2,500 = tsh 4,050,000 za kibongo kufungia hela zake kila mwezi, so kwa mwaka alikuwa ananunua rubber band za $30,000 = 48,600,000 kufunga tu mihela yake (hata BOT hawatumii rubber band za $2,500 kwa mwezi na haijawahi kutokea kwa mtu wala taasisi) Alinunua ndege kwa ajili ya kusafirishia hela zake tu, kila trip ndege ilikuwa inabeba $10m. Mwaka 1989, Forbes ilimtaja kama tajiri wa 7 duniani, anakadiriwa kuwa na utajiri wa $25-30b, watu wake wa karibu wanasema alikuwa anazidi hata hapo coz kwa siku alikuwa anatengeneza sio chini ya $60m, coz kwa mwezi alikuwa anasafirisha zaidi ya 80-100t USA. Na ubabe wake wote, Pablo alikuwa anaogopa sana kufa. Baada ya kutoroka Jela, serikali na jeshi la Colombia wakawa wanamtafuta Pablo, akawa-offer serikali iachane nae na atailipia serikali deni ililokuwa inadaiwa $b10 zaidi ya tirioni 18 za kibongo, ili serikali imalize deni inalodaiwa, lakini serikali ilikataa, msako wa Pablo wakakabidhiwa wamarekani na kumuua December 2/1993. Mpaka leo hongo/rushwa kubwa duniani kuwahi kutokea ni hiyo ya $10b ya Pablo kutaka kulipa deni la taifa la Colombia, 10b usd = trilioni 18.

Monday, August 1, 2016

BAADA YA PROTINI KWENYE MAZIWA YA MENDE, WATAFITI WASEMA MIGUU YAKE PIA NI DAWA.

Baada ya uchunguzi wa kisayansi kubaini kwamba maziwa ya mende yana protini mara nne zaidi ya maziwa ya ng’ombe na kifaru, imebainika kwamba maziwa ya mende pia hutumika kwa matibabu mbalimbali ya binadamu.

Miongoni mwa matibabu hayo ni pamoja na kutengeneza miguu bandia ya kutumiwa na binadamu, mtafiti mkuu katika mradi uliofanyika katika Chuo Kikuu cha A&M cha Texas Hong Liangnchini Marekani amesema…….>>> ‘Nilipoona hii kwa mara ya kwanza nilishangaa’

Alisema wanasayansi kwa miaka mingi wamekua wakishangazwa na uwezo wa mende wa kukaa muda mrefu maeneo yenye sumu na uchafu bila kudhurika, wamegundua kwamba huwa wanatoa kemikali za kupambana na sumu.

Wanaweza kusaidia katika kutengeneza dawa za kusaidia binadamu kukabiliana na bakteria wanaoathiri zaidi watu kwa mfano E.Coli na MRSA ambao hawauliwi kwa dawa yoyote.

Hii siyo mara ya kwanza mende kuhusika kwenye matibabu, Mwandishi Lafcdio Hearn Karne ya 19, alipitia maeneo ya kusini mwa Marekani na kuripoti jinsi watu wenye pepopunda walivyokua wakipewa chai iliyotengenezwa kwa kuwekwa kwa mende aliandia kuwa …….>>>’Sijui ni mende wangapi hutumiwa hadi upate kikombe cha chai, lakini wakazi wa New Orleans wana imani na tiba hiyo’

Pia alisema China kuna mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia ungaunga wa mende. Hutumiwa kutumiwa vidonda vya moto pia humezwa kutibu vidonda tumbo. Kuna aina 4500 ya mende na aina nne pekee ambao huwa waaribifu.

Sunday, July 31, 2016

UFAHAMU UGONJWA HUU,WATU WENGI WANAUMWA NA HAWAJIJUI.

Anaandika Dr.Chriss Cyrilo (Daktari wa binadamu).
_____________________________________________

UFAHAMU UGONJWA WA "NARCISSISTIC PERSONALITY DISORDER".

By Dr.Christopher Cyrilo (MD)

Umewahi kusikia ugonjwa wa akili uitwao 'Narcissistic personality disorder (NPD).?' Huenda hujawahi kusikia jina hilo lakini pengine umewahi kuona mtu mwenye dalili za ugonjwa huo. Kadri utakavyoendelea kusoma utaweza kuoanisha dalili za ugonjwa huu na jamii unayoishi nayo na kuona kati ya jamaa zako kama kuna yeyote anayeugua gonjwa hili hatari la akili.

Ugonjwa huu huwaathiri sana watu wazima na hususani viongozi wa taasisi mbalimbali lakini zaidi taasisi za kisiasa. Wapo baadhi ya viongozi wa taasisi nyingine kama vile za dini, elimu, mashirika, makampuni ambao huweza kuugua pia lakini wahanga wakubwa wa ugonjwa huu ni viongozi wa kisiasa.

DALILI ZAKE:
1. Dalili mojawapo za gonjwa hili ni kuwa mtu wa kujisifu na kujivuna (self centered and egoistic), kupaniki, kudharau wengine na kupuuza hisia zao.

2. Mgonjwa huhisi kuwa yeye tu ndio mtu muhimu kuliko wengine na mawazo yake ni sahihi kuliko mawazo ya wengine, na hakuna mjadala. 

3. Maneno na vitendo vya wagonjwa wa Narcissistic Disorder hulenga tu kwenye kujijengea umaarufu na mafanikio binafsi na kutaka kupendwa na watu.

4. Wagonjwa hawa wanapokuwa viongozi, hutumia zaidi vyombo/watu wanaomuunga mkono kukandamiza watu wasiomuunga mkono.

5. Wagonjwa wa aina hii huchagua maneno ya vitisho na mbinu za kuogofya ili kujipa nafasi ya kutamba katika ulingo wa siasa bila changamoto kutoka kwa wapinzani wake.
Mifano ya viongozi wa aina hii ni Idd Amin Dada wa Uganda na  Adolf Hitler wa Germany. Na hao pia walikuwa na wafuasi wengi pamoja na matendo yao yasio ya kawaida.

ATHARI ZAKE:
Wataalamu wa saikolojia wanashauri kuwa, wagonjwa wa "Narcissistic personality disorder" hawapaswi kuwa viongozi wakubwa wa kisiasa. Wanafaa kuongoza familia, kampuni, vikao vya ukoo au jumuiya ndogondogo ambapo watu ni wachache na mawazo kinzani ni nadra.

Lakini wanapopewa majukumu ya kuongoza mataifa/nchi au taasisi kubwa ambapo watu ni wengi na kuna mawazo mengi kinzani huweza kuleta maafa makubwa sana ikiwemo umwagaji wa damu.

Mbaya zaidi, watu wenye gonjwa hili huweza kujiona watakatifu, wapenda watu na watu wazuri, tofauti na matendo yao.

MATIBABU:
Matibabu ya ugonjwa huu ni magumu sana kwa sababu mgonjwa huwa hajui kama anaumwa, na hata ukiambiwa huwa hakubali. Wengi wanaougua ugonjwa huu ukiwaambia wao ni wagonjwa wanaweza kukuadhibu.

Wagonjwa wa aina hii hupatiwa matibabu maalumu ya mazoezi ya akili (psychotherapy) kutoka ka wataalamu waliobobea (Psychotherapist). Hakuna dawa mahususi ya kumeza kwa wagonjwa wa aina hii, lakini kama hali itakua mbaya wanaweza kutibiwa kwa kutumia #antidepressants au #antianxiety.

SWALI;
Je, katika jamii yako unayoishi umewahi kuona dalili za kuongozwa na mtu mwenye ugonjwa huu wa akili? Je umechukua hatua gani??

Dr.Chriss

TAZAMA KIBONZO HIKI CHA SERIKALI IKIHAMIA DODOMA.

SERIKALI IKIHAMIA DODOMA.

Saturday, July 30, 2016

KWA WANAUME SOMA HII YA HUYU MTAFITI, UTAJIFUNZA KITU.

_*Na, Mtafiti.*_
     _Mwanaume_
           24/07/2016.

MWANAUME  _unatakiwa kujitambua na kujiheshimu  bila kusahau kuutunza ujana wako kwa maneno  yenye hekima na busara ,kama wewe ni kijana na haujaoa na una miaka  25 kwenda juu basi jua wewe ni baba pasipo mtoto jiandae  kuwa baba bora na mume bora kwa matendo na mawazo bila kusahau kuitunza haiba yako ya kiume kwa mavazi safi na bora._

MWANAUME _anayejiheshimu huwa hanyoi kiduku hata siku moja ,kijana bora mwenye kujitambua huwa sio mtumwa wa pombe hata siku moja,kuwa na idadi kubwa ya wanawake sio ujanja bali ni utumwa wa fikra  sababu unatakiwa uitawale pombe na wanawake .sasa ni wakati sahihi wa kuacha ujinga a kujiaanda kuwa mume bora na baba bora._

MWANAUME_ _anayejitambua havai nguo za kumbana mapaja ,havai mlegezo wala   havai nguo za kumbana makalio, mtoto wa kiume  ,jaribu kuwa Muungwana sababu  neno mwanaume limebeba ubora wa utashi wa fikra na tabia ._

_Wanawake wanapenda wanaume wenye upeo mkubwa na  wanao jiamini sababu mwanaume  ni kiogozi na kichwa katika familia sasa unawezaje kuwa kichwa cha familia na kiduku  huku ukiwa na mlegezo ?_

_Wewe ambaye upo  chuo ujanja si kupiga selfie na wanawake   au kushinda kwenye Instagram part kila weekend ,badilika sasa na acha ujinga tumia chuo kama kiwanda cha maarifa na  sio sehemu ya fashion show na mashindano ya kununua smart phone ,kuwa mwanaume bora ili ukikutana na wanaume  wenzio uzungumze kama mwanachuo aliyekomaa nasio kulamba lamba midomo_

_Ongeza idadi ya kusoma vitabu na sio kuwa  mashindano ya kuwa  na idadi  nyingi ya likes za picture za swagger na wingi wa majina yasio na tija ,kumbuka Kendrick Lamar  alitengeneza Brand ya jina lake na wewe tengeneza Brand name yako na sio kuiga ujinga usio na tija.You cannot change yesterday, but you can change today and tomorrow. #Modern Gentleman._

_By Mtafiti._.

Friday, July 29, 2016

18+KWA WANAUME WENYE TATIZO LA KUFIKA HARAKA WAKATI WA TENDO LA NDOA ,TUMIA MBINU HIZI ZITAKUSAIDIA.ACHANA NA MADAWA

Watu wengi wana tatizo hili usiwaone wamevaa masuruali hawasemi tu, kwa machache tu kwa ufahamu mchache nilio nao,Kwanza fanya mazoez ya kuzuia kukojoa...mimi binafsi niliwah kupiga nyeto kwa vipindi tofaut huko nyuma......ila nilikua napenda sana ile raha ya kutaka kumwaga niendelee kuisikia japo kwa dakika kadhaa,.........kumbe kule kujichelewesha kulinipa ex[perience nyingine!!nilijikuta baada ya muda fulani ninauwezo wa kukontroo nikojoe baada ya muda gani,,,nilipoingia rasmi kwenye uhusiano na laazizi wangu aliniona pamoj ana sifa nyingine zakipekee nilizo nazo kuwa mwanaume wake never seen....si kwamba najisifia ndugu ila nina uwezo kwa kukaa juuya kifua cha mwanamke hata kwa dakika 30...bila kupiz na hapo ni hadi aniambie plz beby come..try that na uniambie..pili jua Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki. Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA). Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri. Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride) Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50’’ kila siku na ‘’SQUARTS’’ . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi

THE 8 MONKEYS .

The 8 Monkeys (This is reportedly based on an actual experiment conducted.) Put eight monkeys in a room. In the middle of the room is a ...